Bogolo Kenewendo of Botswana is also adviser to the UN Secretary-General on digital cooperation

Waziri mchanga kabisa Afrika awafungulia milango wanawake na wasichana

Bogolo Kenewendo mwenye umri wa miaka 32 kutoka Botswana pia ni mshauri wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu ushirikiano wa kidigitali