Amani na Usalama

Merveille-Noella Mada-Yayoro, 29, ni mwandishi wa habari na mtayarishaji wa Guira FM
- Merveille-Noella Mada-Yayoro, 29, mwandishi wa habari na mtayarishaji wa Guira FM huko CAR.
Mwanajeshi wa kikosi cha anga/mwanamke wa kufyatua bunduki kutoka Afrika Kusini, Phelisa Frida Miya
Phelisa Frida Miya nwenye umri wa miaka 28, ni mwanajeshi wa kikosi cha anga/mwanamke wa kufyatua bunduki kutoka Afrika Kusini anayehudumu katika Ujumbe wa Kulinda Amani wa Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (MONUSCO).
Kossi Gavon mwenye umri wa miaka 24, ni Luteni kutoka Togo
— Kossi Gavon mwenye umri wa miaka 24, ni Luteni kutoka Togo anayehudumu katika Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kulinda Amani nchini Mali. (MINUSMA)
Military Gender Advisor Steplyne Nyaboga
Kuna wazalishaji chini ya 10 wa Kiafrika walio na uzalishaji wa chanjo na wako katika nchi tano: ...
Afrika inawakilisha asilimia 26 ya idadi ya watu wote duniani lakini ina chini ya asilimia 0.1 ya uzalishaji wa chanjo duniani
Mkutano wa Mawaziri wa Fedha wa Afrika, Mipango na Maendeleo ya Uchumi 22 Machi 2021.
Orodha ya jitihada ambazo nchi zitalazimika kufanya ili kukabiliana na athari ya janga hili ni ndefu mno.
Dk Babio (kushoto) na Dk Amoussouvi wakijiandaa kwa ziara ya wagonjwa wote waliolazwa hospitalini.
Mtaalam wa dharura za kimatibabu na majanga, Dkt. Babia aliwahi kukabiliana na majanga manne ya kiafya.
Jeshi Spc. Angel Laureano anashikilia chupa ya chanjo ya COVID-19. Picha: Lisa Ferdinando
Upatikanaji unahitaji mshikamano wa kimataifa, teknolojia ya pamoja na kuondoa masharti ya Haki Miliki.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres
UN News
Amal Jazz Band, bendi ya muziki inayoeneza amani Malakal, Sudan Kusini.
UN News