AfricaUpya: Mei 2020

Hadithi ya Jalada

Wamkele Mene

AfCFTA: Utekelezwaji wa makubaliano ya biashara huru ya bara Afrika ni kichocheo bora kwa chumi za baada COVID-19

-Wamkele Mene, Katibu Mkuu, Idara ya Usimamizi wa Soko Huru la Bara Afrika (AfCFTA)

Afya

Ms. Wafula-Strike is founder of the Olympia-Wafula Foundation

COVID-19: Walemavu wakabiliwa na wakati mgumu

Umoja wa Mataifa Wataka walemavu wawe katika msitari wa mbele wa kufikiriwa
Igihozo, 11, listens to a lesson on a radio after his school was closed in Rwanda.

Shule zimefungwa, ila masomo yanaendelea barani Afrika

Mataifa yatumia redio, runinga na mtandao kuwashughulisha wanafunzi
 Desert Locust Swarms

Viwavi wanaochagiza warejea katikakati ya janga la COVID-19

Afrika Mashariki yavamiwa na wimbi la pili la nzige na kuwacha mamilioni katika hatari ya kukosa chakula
Dr. Alison Amarachukwu Karen (Nigeria)

Kupambana na COVID-19 ni mchango wangu kwa nchi yangu

-Dkt. Alison Amarachukwu Karen (Nijeria)

Vijana

Amani na Usalama

-Okwa Morphy from Nigeria, serving in South Sudan

Nina shauku kubwa kuhusu Haki za Binadamu

— Okwa Morphy kutoka Nijeria, nahudumu Sudan Kusini
Jackline Urujeni from Rwanda

'Wanawake wanafanya vyema katika kujenga amani na umoja’

-Okwa Morphy kutoka Nijeria, nahudumu Sudan Kusini