AfricaUpya: Januari 2021
Afya
-
Wananchi pwani ya Kenya washinda kesi dhidi ya mchafuzi wa mazingira
Wakazi 3,000 walioathiriwa na sumu ya madini ya risasi wapewa fidia ya dola milioni 12, ingawa usafi bado haujafanywa.
Amani na Usalama
-
Umoja wa Afrika (AU) ushinikize usawa katika upatikanaji wa chanjo za COVID-19
Upatikanaji unahitaji mshikamano wa kimataifa, teknolojia ya pamoja na kuondoa masharti ya Haki Miliki.
Vijana
-
Kuangazia matumaini na changamoto za vijana wa Algeria
Injaz El Jazair imekuwa ni mshiriki mkuu katika kuwawezesha vijana.
Maendeleo ya kiuchumi
-
AfCFTA: Wataalam, wafanyabiashara wataka ushiriki thabiti wa wanawake na vijana
Ripoti ya Siku zijazo inayoangazia changamoto na fursa za biashara barani Afrika. -
AfCFTA: Jinsi Hakimiliki inavyoweza kusaidia kutengeneza ajira
Soko moja ni njia yenye uwezo wa kuongeza kasi ya ukuaji wa Biashara Ndogondogo ambazo huleta asilimia 80 ya ajira barani Afrika.