Haben Girma

‘Changamoto kuu ni ubaguzi dhidi ya walemavu, si ulemavu wangu’

Kutana na wakili Haben Girma, mtetezi mkuu wa haki za walemavu
Malori yakipita katika bara la Afrika.

Jinsi uchukuzi wa malori kutumia mtindo wa Uber unavyobadilisha kabisa biashara barani Afrika

Malori yaliyosajiliwa na madereva wameunganishwa mtandaoni, na kusawazishwa na mahitaji ya uchukuzi wa mizigo
Mike Nkhombo Khunga

Bingwa wa Mifumo ya Chakula Mike Khunga, Malawi

Muungano wa Asasi za Kiraia za Lishe (CSONA), Malawi

Bingwa wa Mifumo ya Chakula Divine Ntiokam, Kamerun

Mwasisi na Mkurugenzi Mtendaji, Muungano wa Vijana wa Kilimo Bora kwa Hali ya Hewa (CSAYN), Kamerun
Kossi Gavon mwenye umri wa miaka 24, ni Luteni kutoka Togo

'Jumuisha maafisa vijana kwenye jumbe za kulinda usalama'

— Kossi Gavon mwenye umri wa miaka 24, ni Luteni kutoka Togo anayehudumu katika Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kulinda Amani nchini Mali. (MINUSMA)
Mwanajeshi wa kikosi cha anga/mwanamke wa kufyatua bunduki kutoka Afrika Kusini, Phelisa Frida Miya

Napenda kazi yangu kama mwanajeshi wa kikosi cha anga’ Phelisa Frida Miya, kutoka Afrika Kusini'

Phelisa Frida Miya nwenye umri wa miaka 28, ni mwanajeshi wa kikosi cha anga/mwanamke wa kufyatua bunduki kutoka Afrika Kusini anayehudumu katika Ujumbe wa Kulinda Amani wa Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (MONUSCO).
Lucy Muchoki

Bingwa wa Mifumo ya Chakula Lucy Muchoki, Kenya

Mkurugenzi Mtendaji, Pan-African Agribusiness and Agroindustry Consortium (PanAAC) imeandaa mazungumzo kwa Afrika Kusini katika eneo la SMEs.
Divine Ntiokam, Lucy Muchoki Mike na Nkhombo Khunga.

Kutana na Mabingwa wa Chakula Barani Afrika

Kabla ya Mkutano wa Mifumo ya Chakula wa 2021 wa UN mnamo Septemba hii, Mabingwa wa Mifumo ya Chakula wanakusanya jamii za ulimwengu na kukuza mazungumzo kwa suluhisho za ubunifu, vitendo na endelevu.
Mpiga picha Polly Irungu.

Wanawake Weusi wapiga picha wafana katika mtandao mpya wa “wasanii”

Mpiga picha mwenye asili ya Kenya na mzaliwa wa Kenya azindua jukwaa la ulimwengu kutangaza talanta zao.
Ukatili wa kijinsia

Kupambana na ‘janga la kinyumbani’: Umoja wa Afrika unapongeza Chapisho la Sauti Blog kwa kujihusisha na vita dhidi ya unyanyasaji wa kijinsia

Mwandishi mchanga wa kike anahamasisha ufahamu kuhusu mivutano iliyopo baina ya kuhifadhi taswira ya umma na kunusurika unyanyasaji wa kinyumbani.
Maonyesho ya nguo katika She Designs 2018, maonyesho ya wabunifu zaidi ya 50 wa wanawake kutoka nchi

Mitindo na kitambaa: Historia ya Afrika yasimuliwa kupitia kwa mavazi yaliyopigwa chapa kwa nta

Nguzo ya mitindo ya Afrika, vitambaa vya “ankara,” “wax hollandais” au “kitenge” ni kioo cha historia
Igihozo, 11, listens to a lesson on a radio after his school was closed in Rwanda.

Shule zimefungwa, ila masomo yanaendelea barani Afrika

Mataifa yatumia redio, runinga na mtandao kuwashughulisha wanafunzi
Black eye peas

Kunde: Ladha ya Afrika yasambaa Marekani

Akara na acarajé: Tamaduni za mapishi zinazounganisha bara Afrika na Waafrika walio Ughaibuni
 South African climate activists. Photo: Ashraf Hendricks /Anadolu Agency/Getty Images

Kushughulikia mabadiliko ya hali ya hewa: wakati ni sasa

Viongozi wa dunia katika Mkutano Mkuu wa Hali ya Hewa 2019 wanatarajiwa kuleta mipango halisi ya kupunguza uzalishaji wa gesi chafu.