Maendeleo ya kiuchumi

Mkutano wa 2021 wa Sera ya Ardhi Barani Afrika.
Uzinduzi wa PAPSS utaokoa dola bilioni 5 kila mwaka na kupiga jeki biashara kati ya mataifa ya Afrika
Wafanyakazi wanatayarisha meli katika Walvis Bay, bandari kuu nchini Namibia.
— Simulizi mpya ya maendeleo inahitajika kuwasilisha Bara la Afrika kama mdau muhimu na lililo na mafanikio na mazoea bora ya kushiriki
Timothy Laku
Mazungumzo na mwanateknolojia wa kidijitali kutoka Uganda, Timothy Laku.
Malori yakipita katika bara la Afrika.
Malori yaliyosajiliwa na madereva wameunganishwa mtandaoni, na kusawazishwa na mahitaji ya uchukuzi wa mizigo
Dijiti Dijiti
Changamoto ni pamoja na ukosefu wa intaneti ya kuaminika na ukosefu wa maarifa ya kifedha
Wakulima wanawake
Athari ya COVID-19 imefichua udhaifu wa mifumo ya sasa ya chakula, lakini pia imefunua fursa kwa Afrika kufanya biashara na Afrika chini ya AfCFTA
Shamba la mahindi katika Namibia.
AfCFTA inaweza kuongeza juhudi za wakulima wa Kiafrika kushindana na EU
Cristina Duarte, Katibu Mkuu Kiongozi wa UN na Mshauri Maalum wa Afrika
Utamaduni tajiri wa Afrika unastahili kwenda zaidi ya mapambo ya kisanii, muziki au densi na kuonyesha mfumo thabiti wa maadili unaoyakumbatia mabadiliko, kukuza ubunifu na kuchangia kwa ulimwengu.
Nellie Mutemeri
Biashara Huru ya bara Afrika inaweza kubuni mikondo ya maadili na ujuzi kwa manufaa ya wanawake wengi wa Afrika walio katika uchimbaji madini