Stories

Mkurugenzi mwenza wa Africa Podfest Melissa Mbugua anaandaa tamasha hilo moja kwa moja kutoka Baraza

Kupodikasti kwapata umaarufu Afrika

By Josephine Karianjahi
Namna jukwaa la Afrika linavyozileta pamoja sauti katika chombo cha kijamii chenye msisimuo

Ikiwa ni pamoja na mshikamano wa ulimwengu, Msumbiji waweza kushinda majanga

By Winnie Byanyima
Kuzishinda changamoto za kiafya, kibinadamu, tabianchi na kiuchumi
Mpiga picha Polly Irungu.

Wanawake Weusi wapiga picha wafana katika mtandao mpya wa “wasanii”

By Franck Kuwonu
Mpiga picha mwenye asili ya Kenya na mzaliwa wa Kenya azindua jukwaa la ulimwengu kutangaza talanta zao.
Cristina Duarte, Katibu Mkuu Kiongozi wa UN na Mshauri Maalum wa Afrika

Misusuru ya majadiliano ya Africa Dialogue Series: Kutumia utamaduni kukuza maendelo

By Office of the Special Adviser on Africa
Utamaduni tajiri wa Afrika unastahili kwenda zaidi ya mapambo ya kisanii, muziki au densi na kuonyesha mfumo thabiti wa maadili unaoyakumbatia mabadiliko, kukuza ubunifu na kuchangia kwa ulimwengu.
Mtu aliye na mayai ya kuku mikononi mwake.

Kilimo kitasaidia au kuzamisha biashara huru ya Afrika

By Abebe Haile-Gabriel
Mageuzi katika mifumo ya kilimo na chakula yanaweza kufungulia uwezo wa Afrika
Kuna wazalishaji chini ya 10 wa Kiafrika walio na uzalishaji wa chanjo na wako katika nchi tano: ...

Kwa utayari wa kisiasa na uwekezaji, bara la Afrika linaweza kujizatiti kupata chanjo yake ya COVID-19

By Economic Commission for Africa
Afrika inawakilisha asilimia 26 ya idadi ya watu wote duniani lakini ina chini ya asilimia 0.1 ya uzalishaji wa chanjo duniani
Sylvia Wairimu Maina, a PhD scholar at Sokoine University, Tanzania, conducting research

Kitu gani kipo kwenye kabeji la Afrika? Mengi

By Economic Commission for Africa
Sylvia Wairimu Maina (kutoka Kenya), anazungumza kuhusu utafiti wake wa shadada ya uzamivu (PHD) kuhusu lishe na faida za kiafya za kabeji la Afrika