Stories

 Jijini Dar es Salaam, Tanzania, wasichana wa shule huandaa maandamano ya kupinga ukatili wa kijinsi

Siku16 za Uanaharakati dhidi ya Dhuluma za Kijinsia

By UN Women
Kampeni inaanza tarehe 25 Novemba hadi 10 Disemba chini ya Mada: “Orange the World: End Violence against Women Now!”
 António Guterres

Ukuzaji viwanda jumuishi na endelevu ni muhimu kwa ufanifu wa Afrika

By António Guterres
Ujumbe wa Katibu Mkuu wa UN Siku ya Afrika ya Ukuzaji Viwanda
Uwanja wa maonyesho katika Maonyesho ya Biashara ya Ndani ya Afrika 2021 uko hai huku mikataba ikifa

Fursa za uwekezaji barani Afrika zaonyeshwa kikamilifu katika Jukwaa la Wawekezaji la Maonyesho ya Biashara Ndani ya Afrika (IATF)

By IAFT
Maonyesho ya Biashara ya Ndani ya Afrika yanandaa Siku yake ya Uwekezaji jijini Durban, Afrika Kusini
Washiriki wa Mkutano wa 2021 wa Sera ya Ardhi Barani Afrika.

Teknolojia ya kidijitali ni muhimu kwa usimamizi wa mali

By UNECA
Teknolojia kama vile droni husaidia kukusanya picha za ardhi kwa ajili ya uchanganuzi wa picha, na katika kuweka mipaka ya viwanja.

Ongezeko la kasi la ugonjwa wa kisukari Afrika lakoleza makali ya COVID-19

By WHO
Kukabili mlipuko wa kisukari katika Afrika ni muhimu kama kukabili COVID-19
ECOTRUST nchini Uganda

Tunahitaji juhudi nyingi na malengo makubwa ya urejesho wa ardhi barani Afrika

By Ibrahim Mayaki and Wanjira Mathai
Uharibifu wa ardhi ya kilimo kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa yanatishia mamilioni ya njia za kutafuta riziki